UTEUZI:
Rais John Magufuli amemteua Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya 4, Mizengo
Pinda kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania(OUT).
- Uteuzi huu
unafuatia baada ya aliyekuwa mkuu wa chuo hicho Bi. Asha-Rose Migiro
kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza.
Jumatano, 25 Mei 2016
<<
obama anakerwa na maandamano yanayoendelea nchini
bodi ya TCU yavunjwa na waziri wa elimu.
>>
Nyumbani
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni